• Open Daily: 10am - 10pm
    Alley-side Pickup: 10am - 7pm

    3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
    612-822-4611

Open Daily: 10am - 10pm | Alley-side Pickup: 10am - 7pm
3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
612-822-4611
Mtu wa Mvua

Mtu wa Mvua

Paperback

General Juvenile Fiction

ISBN10: 9966472371
ISBN13: 9789966472373
Publisher: Phoenix Publishers
Published: Jul 31 2022
Pages: 56
Weight: 0.12
Height: 0.12 Width: 5.00 Depth: 7.00
Language: Swahili

Dora yumo nyumbani ambamo amelazimika kubaki ili kuwachunga ng'ombe wao kutokana na ukosefu wa mfanyakazi mzuri. Halafu siku moja anamuona mtu anayetembea kwenye mvua bila kuguswa na tone la mvua. Anamshawishi mamaye wamwalike mtu huyu nyumbani. Mgeni anakubali kuandikwa kazi na Dora anarudi shuleni. Mtu huyu, Okungu, anaishia kuwa na vipawa vya ajabu ambavyo vinaisaidia jamii ya akina Dora kwa njia kubwa. Hii ni mojawapo ya hadithi tatu za kusisua zilizomo katika kitabu hiki. Juu ya kusisimua, zina mafunzo kemkem kwa wasomaji.

Also from

Walibora, Ken

Also in

General Juvenile Fiction